Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa uchumi wa Uingereza ulidorora mwanzoni mwa 2025, kinyume na utabiri, na kushuka huku kusikotarajiwa, ambako ni matokeo ya uzalishaji duni wa viwandani na kudorora kwa sekta muhimu, kumezidisha wasiwasi kuhusu mustakabali wa uchumi wa nchi hiyo na changamoto zinazoikabili serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer katika njia ya ukuaji wa uchumi.
Related Posts

Korea Kaskazini kupanua silaha za nyuklia
Korea Kaskazini kupanua silaha za nyukliaKim Jong-un ametangaza mpango huo ili kuilinda vyema nchi dhidi ya uvamizi kutoka njeKorea Kaskazini…
Korea Kaskazini kupanua silaha za nyukliaKim Jong-un ametangaza mpango huo ili kuilinda vyema nchi dhidi ya uvamizi kutoka njeKorea Kaskazini…
Hamas: Duru mpya ya mazungumzo ya kusitisha mapigano imeanza
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa duru mpya ya mazungumzo ya kusimamisha vita Ukanda…
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa duru mpya ya mazungumzo ya kusimamisha vita Ukanda…
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Iran inanyoosha mkono wa udugu kwa mataifa yote ya Kiislamu
Mapema leo Jumatatu, katika kikao na viongozi wa serikali, mabalozi wa nchi za Kiislamu na matabaka tofauti ya wananchi wa…
Mapema leo Jumatatu, katika kikao na viongozi wa serikali, mabalozi wa nchi za Kiislamu na matabaka tofauti ya wananchi wa…