Msichana wa miaka 22 alivyouawa baada ya kubakwa akihudhuria kipindi cha dini

Msichana mwenye umri wa miaka 22 alidaiwa kubakwa, kuuawa na mwili wake ukiwa mtupu kutupwa kwenye shimo la maji huko Ayodhya, mji ulioko kaskazini mwa jimbo la Uttar Pradesh nchini India.