MSF: Vita nchini Sudan vimeharibu sekta ya afya

Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali ya afya katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, inazidi kuwa mbaya kutokana na vita, na kukosekana huduma za afya za kimsingi na za kuokoa maisha ya watu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *