Msemaji wa Wizara ya Ulinzi: Hakukuwa na shehena za zana za kijeshi katika Bandari ya Shahid Rajaee

Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa uchunguzi unaonyesha kuwa hakukuwa na shehena iliyoingizwa nchini au kusafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya fueli au kwa matumizi ya kijeshi katika eneo la tukio la moto katika Bandari ya Shahidi Rajaee.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *