Msemaji wa serikali ya Iran: Vikwazo vya Marekani vinalenga maisha ya raia

Msemaji wa Serikali ya Iran amesema kuwa vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaathiri maisha ya watu wa kawaida.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *