Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambacho ni kitovu cha waasi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *