Mpango wa nyuklia wa Iran, ajenda ya mazungumzo ya pande nne za Iran, China, Russia na Mkuu wa IAEA

Wawakilishi wa Iran, China na Russia wamekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na kujadili hali ya mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *