Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, amekariri madai ya kisiasa anayotoa kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Tehran; na pamoja na kueleza kwamba japokuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina akiba kubwa ya urani iliyorutubishwa lakini haina silaha za atomiki, ametaka kuharakishwa mchakato wa kutatua masuala ya usimamizi wa mradi wake wa nyuklia.
Related Posts
Wapiganaji wa Hezbollah wanawalazimisha wanajeshi wa Israel kurudi nyuma kutoka mpaka wa Lebanon
Wapiganaji wa Hezbollah wanawalazimisha wanajeshi wa Israel kurudi nyuma kutoka mpaka wa LebanonHezbollah inasema kuwa wapiganaji wa muqawama wa Lebanon…
Wapiganaji wa Hezbollah wanawalazimisha wanajeshi wa Israel kurudi nyuma kutoka mpaka wa LebanonHezbollah inasema kuwa wapiganaji wa muqawama wa Lebanon…
Urusi inatoa picha kutoka kwa mazoezi makubwa ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaa (VIDEOS)
Urusi inatoa picha kutoka kwa mazoezi makubwa ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaa (VIDEOS)Zoezi hilo limepangwa kuhusisha shughuli katika…
Urusi inatoa picha kutoka kwa mazoezi makubwa ya kimkakati ya wanamaji katika miongo kadhaa (VIDEOS)Zoezi hilo limepangwa kuhusisha shughuli katika…
Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi…
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi…