Mkuu wa Umoja wa Maulamaa aghadhibishwa vikali na kimya cha Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na Ghaza

Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu amekosoa vikali kimya cha Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Waislamu Wapalestina wa Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *