Mkuu wa Kamati ya Bunge ya Usalama wa Taifa Iran ajibu vitisho vya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amejibu vitisho vya Waziri wa Ulinzi wa Marekani akisema kuwa, Wamarekani wenyewe ndio watakaolipa gharama ya mienendo yao inayokinzana.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *