Kufanyika mkutano wa dharura wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiislamu huko Jeddah mara baada ya mkutano wa dharura wa mawaziri wa Mambo ya Nje na Wakuu wa Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri kunaonyesha ushirikiano wa pamoja wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabiliana na mpango wa kuwafukuza kwa nguvu wakazi wa Ukanda wa Gaza na wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Related Posts
Baqaei: Marekani ijitayarishe kwa athari za hatua yoyote dhidi ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza katika ujumbe wake kwamba, tishio lolote la rais wa nchi…
Jeshi la Sudan lasonga mbele kuelekea katikati ya Khartoum
Jeshi la Sudan lilitangaza jana, Jumatano, kuwa limepiga hatua kubwa za maendeleo katika mji mkuu, Khartoum, na kudhibiti kitongoji cha…

Majeshi ya Yemen yaligonga…
Majeshi ya Yemen yaligonga meli yenye uhusiano na Israel, waharibifu 2 wa Marekani katika Bahari Nyekundu Msemaji wa Jeshi la…