Mkutano wa 3 wa Kiuchumi wa Iran na Afrika umeanza mjini Tehran

Mkutano wa 3 wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika umeanza leo hapa Tehran na utaendelea hadi tarehe 29 mwezi huu wa Aprili. Mkutano huu aidha utaendelea katika mji wa Isfahan hapa nchini tarehe 29 hadi 30 Aprili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *