Mjumbe wa UN asema mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Syria lazima yakome ‘mara moja’

Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Syria, Geir Pedersen, amelaani vikali ukiukaji unaozidi kuongezeka wa mamlaka ya Syria unaofanywa na utawala wa Israel, akisema utawala huo ghasibu lazima usitishe mashambulizi yake ya anga “mara moja.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *