Mjumbe wa Trump: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni chanya

Mjumbe wa rais wa Marekani, Donald Trump katika ukanda wa Asia Magharibi amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani ni chanya, na kwamba juhudi zinaendelea za kuhakikisha inafanyika duru nyingine ya mazungumzo hayo mwishoni mwa wiki hii.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *