Misri yafurahia kurejeshwa turathi nyingi zilizoibwa na Marekani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza habari ya kurejeshwa nchini humo kutoka Marekani turathi 25 za kihistoria na za kisanii, zilizotwaliwa enzi za ustaarabu wa kale wa Misri.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *