Milio ya risasi yasikika Tripoli baada ya mauaji ya kiongozi wa wanamgambo

Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukomeshwa haraka machafuko katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, huku watu wenye silaha wakifyatuliana risasi katika wilaya za kusini mwa mji huo baada ya mauaji ya kiongozi aliyekuwa na nguvu wa kundi moja la wanamgambo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *