Microsoft inashirikiana na Israel katika mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

Hatua ya Ibtihal Aboussad mhandisi wa nchini Morocco ya kupanda jukwaani na kumshutumu Mustafa Suleyman Mkuu wa Kitengo cha Akili Bandia AI cha Kampuni ya Microsoft imegonga vichwa vya habari duniani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *