Mhadhiri Ghana: Kimya cha dunia kwa jinai za Israel Gaza kinaaibisha

Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana,Mustapha Abdullah Kuyateh amelaani vikali hujuma za kikatili za Israel dhidi ya Gaza, akisisitiza kuwa huo ni mwendelezo wa mauaji ya kimbari na mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *