Mgogoro unaoshadidi wa Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

Baada ya kuanza vita vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Gaza, ripoti zinaonesha ongezeko la asilimia 140 ya uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu katika nchi za Ulaya, hasa Ujerumani — jambo ambalo limegeuka kuwa tishio kubwa kwa jamii za Ulaya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *