Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

Kundi la askari wa akiba wa jeshi la anga la Israel limefukuzwa kazi baada ya kutia saini waraka wa kutaka kusitishwa vita dhidi ya Gaza na kurejeshwa kwa mateka wa utawala huo haramu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *