Meja Jenerali Salami: Kikosi cha Quds kimemkaba adui maidanini

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Kikosi cha Quds cha jeshi hilo kimemmaliza adui kwenye medani za mapambano na kumdidimiza.