Mbunge: Israel kamwe haitopata ushindi; Ghaza itakuwa huru

Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki kwenye Tamasha la Sobh la Kimataifa la Vyombo vya Habari hapa Tehran jana Jumatatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *