Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Burkina Faso na Niger wiki hii wataelekea ziarani mjini Moscow, Russia. Nchi hizo za eneo la Sahel barani Afrika zinaizuru Moscow katika jitihada za kuimarisha uhusiano wao na Russia.
Related Posts

Hamas: Marekani ‘kununua wakati’ kwa Israel kuendelea na mauaji ya kimbari
Hamas: Marekani ‘kununua wakati’ kwa Israel kuendelea na mauaji ya kimbari Osama Hamdan, mwakilishi wa kundi la muqawama la Palestina…
Hamas: Marekani ‘kununua wakati’ kwa Israel kuendelea na mauaji ya kimbari Osama Hamdan, mwakilishi wa kundi la muqawama la Palestina…
Katibu Mkuu wa UN: Hali ya maafa katika Ukanda wote wa Ghaza imevuka kiwango cha kutasawirika
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema: “hali ya kibinadamu katika eneo lote la Ukanda wa Ghaza imetoka…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema: “hali ya kibinadamu katika eneo lote la Ukanda wa Ghaza imetoka…
Umoja wa Afrika waondoa vikwazo dhidi ya Gabon na kuirejesha katika taasisi zake
Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, umeiondolea vikwazo Gabon na kuirejesha tena katika taasisi zake. Post Views: 15
Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, umeiondolea vikwazo Gabon na kuirejesha tena katika taasisi zake. Post Views: 15