Mashirika sita ya UN: Vita vya Ghaza ni ishara ya kutojaliwa hata chembe maisha ya binadamu

Wakuu wa mashirika sita ya Umoja wa Mataifa wametoa indhari kali kuhusu hali ya Ukanda wa Ghaza na kutaka usitishaji vita utekelezwe tena na kwa haraka sana, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya katika eneo hilo linaloendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *