Wakuu wa mashirika sita ya Umoja wa Mataifa wametoa indhari kali kuhusu hali ya Ukanda wa Ghaza na kutaka usitishaji vita utekelezwe tena na kwa haraka sana, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya katika eneo hilo linaloendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Related Posts

Marekani kuchelewesha msaada wa kijeshi kwa Ukraine – CNN
Marekani kuchelewesha msaada wa kijeshi kwa Ukraine – CNNPentagon haina silaha za kutosha kuhifadhi mahitaji ya Kiev, ripoti inasema Uhaba…
Marekani kuchelewesha msaada wa kijeshi kwa Ukraine – CNNPentagon haina silaha za kutosha kuhifadhi mahitaji ya Kiev, ripoti inasema Uhaba…
Mkuu wa IEBC aliyesimamia uchaguzi wa kwanza Kenya kubatilishwa na mahakama afariki
Wafula Wanyonyi Chebukati, aliyesimamia uchaguzi wa urais uliobatilishwa na Mahakama mwaka 2017 na 2022 ulioigawanya Tume Huru ya Uchaguzi n…
Wafula Wanyonyi Chebukati, aliyesimamia uchaguzi wa urais uliobatilishwa na Mahakama mwaka 2017 na 2022 ulioigawanya Tume Huru ya Uchaguzi n…
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Hatutasalimu amri na wala hatutashindwa
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem, amesema katika hotuba aliyotoa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuwaenzi makamanda…
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem, amesema katika hotuba aliyotoa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuwaenzi makamanda…