Mitandao na mashirika 113 ya kutetea haki za binadamu duniani kote yamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuweka vikwazo vya kimataifa kwa utawala ghasibu wa Israel ili kukomesha mauaji ya kimbari na njaa katika Ukanda wa Gaza, na kuondoa kukamilifu mzingiro wa eneo hilo.
Related Posts
Jeshi la Msumbiji: Uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado umemalizika
Jeshi la Msumbiji limetangaza kuwa limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo zilizokuwa zikitumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa…
Jeshi la Msumbiji limetangaza kuwa limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo zilizokuwa zikitumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa…

Watengenezaji silaha wa Marekani wanakataa kuwekeza nchini Ukraine – vyombo vya habari
Watengenezaji silaha wa Marekani wanakataa kuwekeza nchini Ukraine – vyombo vya habariWatengenezaji wanasitasita kuingiza pesa katika taifa fisadi kwenye vita…
Watengenezaji silaha wa Marekani wanakataa kuwekeza nchini Ukraine – vyombo vya habariWatengenezaji wanasitasita kuingiza pesa katika taifa fisadi kwenye vita…
Trump adai yuko tayari kukutana na Kiongozi Muadhamu wa Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian au Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian au Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi…