Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Yemen, je, Marekani itaweza kufungua njia za Bahari Nyekundu?

Wiki hii, Jeshi la Yemen lilitangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga meli za kivita za Marekani, ikiwa ni pamoja na mwanuwari ya USS Harry S. Truman ya Marekani ya kubebea ndege, katika Bahari Nyekundu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *