Mashambulizi ya anga ya US kwenye bandari ya mafuta ya Ras Isa, Yemen yaua watu 33

Jeshi la Marekani limeshambulia bandari ya mafuta ya Ras Isa magharibi mwa Yemen, na kuua makumi ya wafanyakazi na wahudumu wa afya, huku makumi ya wengine wakijeruhiwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *