Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *