Mapatano na Lebanon; ndoto ya Wazayuni na upinzani mkali wa Walebanon

Nabih Berri, Spika wa Bunge la Lebanon amefichua mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kuiburuza nchi hiyo ya Kiarabu katika mtego wa kuanzisha nayo uhusiano wa kawaida, na kusisitiza kuwa, Lebanon katu haiko tayari kuwa na uhusiano wa aina hiyo na utawala huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *