Nabih Berri, Spika wa Bunge la Lebanon amefichua mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kuiburuza nchi hiyo ya Kiarabu katika mtego wa kuanzisha nayo uhusiano wa kawaida, na kusisitiza kuwa, Lebanon katu haiko tayari kuwa na uhusiano wa aina hiyo na utawala huo.
Related Posts
Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameulaumu utawala wa Kizayuni Israel kwa kuwazuia kuingia, kuwakamata na kisha kuwatimua wabunge…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameulaumu utawala wa Kizayuni Israel kwa kuwazuia kuingia, kuwakamata na kisha kuwatimua wabunge…
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani?
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani? Kuanzia Sajjil hadi Sahab, Iran ina aina mbalimbali…
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani? Kuanzia Sajjil hadi Sahab, Iran ina aina mbalimbali…
Je, Marekani itaiondoa Cuba kwenye Orodha ya Nchi Zinazounga Mkono Ugaidi?
Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa rais wa nchi anayeondoka mamlakani Joe Biden, ataiondoa Cuba kwenye orodha ya nchi zinazounga mkono…
Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa rais wa nchi anayeondoka mamlakani Joe Biden, ataiondoa Cuba kwenye orodha ya nchi zinazounga mkono…