Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds

Wananchi Waislamu wa Iran kote nchini wamejitokeza kwa mamilioni kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha mshikamano na Palestina, na kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *