Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).
Related Posts
Vyombo vya habari Kenya vyazungumzia athari za ushindi wa Odinga kama mkuu wa Kamisheni ya AU
Vyombo vya habari vya Kenya vimechapisha ripoti kuhusu athari za matokeo ya ushindi wa mgombea wa nchi hiyo, Raila Odinga,…
Vyombo vya habari vya Kenya vimechapisha ripoti kuhusu athari za matokeo ya ushindi wa mgombea wa nchi hiyo, Raila Odinga,…
Arab League yapinga njama za Trump za kuipora Ghaza
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), imepinga njama mpya za rais wa Marekani, Donald Trump za kutaka kuipora Ghaza…
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), imepinga njama mpya za rais wa Marekani, Donald Trump za kutaka kuipora Ghaza…
Jeshi: Watu 10 wauawa, 23 wajeruhiwa katika shambulio la RSF Sudan
Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa, takriban watu 10 wameuawa na wengine 23 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na…
Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa, takriban watu 10 wameuawa na wengine 23 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na…