Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *