Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam

Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa jana na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye kambi ya Zamzam ya wakimbizi wa ndani katika mji wa El Fasher, Jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *