Mali: Muungano wa Mataifa ya Sahel umevuruga nguvu za ukoloni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Abdoulaye Diop, amesema kuwa Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES) ulioundwa na Mali, Niger na Burkina Faso mwaka 2023, umebadili kabisa mlingano wa nguvu za kimkakati kwa madola ya kikoloni ambayo yanataka kuendelea kutawala nchi hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *