Malcolm X: Jinsi mauaji yake yalivyotikisa Marekani miaka 60 iliyopita

Malcolm X aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa jukwaani kwenye ukumbi mmoja huko New York alipokuwa akijiandaa kutoa hotuba kwa Shirika lake la Afro-American Unity. Mke wake na watoto walikuwa kwenye hadhira.