Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameua shahidi zaidi ya Wapalestina 20, wakiwemo wanawake na watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *