Kufuatia mashambulizi ya Israel dhidi ya kambi za Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kuuawa wafanyakazi watano wa shirika hilo la kimataifa, makumi ya wafanyakazi wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Gaza wanaondoka eneo hilo kutokana na wasiwasi wa mashambulizi ya Israel.
Related Posts
Araghchi: Hakujakuwa na mazungumzo yoyote kati ya Iran na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza tena kuwa Iran iko tayari kufanya mazungumzo yasiyo ya moja…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza tena kuwa Iran iko tayari kufanya mazungumzo yasiyo ya moja…
Kiongozi Muadhamu: Siku ya Quds ya mwaka huu itakuwa ya aina yake
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu…
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu…
Urusi kusukuma askari wa Kiukreni nje ya Mkoa wa Kursk, bila shaka itafanikiwa – Lavrov
Urusi kusukuma askari wa Kiukreni nje ya Mkoa wa Kursk, bila shaka itafanikiwa – LavrovWaziri wa mambo ya nje alidokeza…
Urusi kusukuma askari wa Kiukreni nje ya Mkoa wa Kursk, bila shaka itafanikiwa – LavrovWaziri wa mambo ya nje alidokeza…