Makumi wauawa katika mashambulizi ya wabeba silaha Benue, Nigeria

Takriban watu 23 waliuawa huku wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi ya watu waliojizatiti kwa silaha katika Jimbo la Benue nchini Nigeria.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *