Makampuni yanayotegemea elimu Iran yanavunja rekodi ya mapato

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Tathmini ya Makampuni yanayoendeshwa kwa kutegemea Msingi wa Elimu na Maarifa ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya makampuni hayo katika maendeleo ya teknolojia na viwanda humu nchini na kusema kuwa yamevunja rekodi ya mauzo ya bidhaa nje ya nchi mwaka 2024.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *