Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Tathmini ya Makampuni yanayoendeshwa kwa kutegemea Msingi wa Elimu na Maarifa ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya makampuni hayo katika maendeleo ya teknolojia na viwanda humu nchini na kusema kuwa yamevunja rekodi ya mauzo ya bidhaa nje ya nchi mwaka 2024.
Related Posts
Jumanne, Aprili Mosi, 2025
Leo ni Jumanne tarehe Pili Shawwal 1446 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe Mosi Aprili 2025. Post Views: 15
Leo ni Jumanne tarehe Pili Shawwal 1446 Hijria, ambayo inasadifiana na tarehe Mosi Aprili 2025. Post Views: 15
Mashirika sita ya UN: Vita vya Ghaza ni ishara ya kutojaliwa hata chembe maisha ya binadamu
Wakuu wa mashirika sita ya Umoja wa Mataifa wametoa indhari kali kuhusu hali ya Ukanda wa Ghaza na kutaka usitishaji…
Wakuu wa mashirika sita ya Umoja wa Mataifa wametoa indhari kali kuhusu hali ya Ukanda wa Ghaza na kutaka usitishaji…
Abbas Araghchi kufanya safari Saudi Arabia na Qatar kwa ajili ya shughuli za kidiplomasia
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuzuru Saudi Arabia na Qatar Jumamosi ya kesho…
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuzuru Saudi Arabia na Qatar Jumamosi ya kesho…