Mahakama ya ICC: Tunalaani vikwazo vya Marekani kwa mwendesha mashtaka wetu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) iliyoko The Hague huko Uholanzi imetoa taarifa ikilaani hatua ya utawala wa Donald Trump kumuwekea vikwazo Mwendesha Mashtaka wa mahakama hiyo, Karim Khan.