Maelfu ya Wapalestina watekeleza Swala ya Ijumaa licha ya vizuizi vya Israel

Takriban Wapalestina 80,000 wameswali Swala ya Ijumaa ya tatu ya mwezi wa Ramadhani hii leo katika Msikiti wa Al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, licha ya vikwazo vya Israel na vituo vya ukaguzi kuwazuia maelfu ya waumini wengine kufika eneo hilo takatifu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *