Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri

Makumi ya maelfu ya Wasudani waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na vita sasa wanarejea nchini licha ya vita kuendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *