Maelfu waandamana mjini London katika Siku ya Kimataifa Quds kutetea Palestina

Maandamano ya Siku ya Quds ya Kimataifa mwaka huu yamefanyika mapema jijini London Jumapili, Machi 23, na kuvutia maelfu ya washiriki kutoka nyanja mbalimbali ili kutetea haki za Wapalestina na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *