Madai dhidi ya Iran ya Mjumbe wa Marekani UN kuhusu miradi ya nyuklia ya Tehran

Katika matamshi yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mjumbe wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema: Washington inaendelea kutekeleza kikamilifu sera za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *