Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel

Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza na kupinga meli zinazobeba zana za kijeshi za utawala wa Kizayuni kutia nanga katika bandari za nchi yao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *