Maandamano makubwa Ufaransa kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu

Maelfu ya watu waliandamana katika mitaa ya Paris na miji mingine ya Ufaransa siku ya Jumapili kulaani ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu na kumuenzi Aboubakar Cissé, kijana kutoka Mali aliyeuawa akiswali ndani ya msikiti.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *