Libya yaitaka jamii ya kimataifa kuisaidia mzigo wa wakimbizi

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya, Emad al-Tarabelsi, ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa ukiwemo pia Umoja wa Ulaya kuisaidia mzigo wa wakimbizi haramu wanatumia ardhi ya Libya kujaribu kuelekea barani Ulaya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *