Lassa yaua watu 118 Nigeria ndani ya miezi mitatu

Homa ya Lassa imeua watu 118 nchini Nigeria katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu. Hayo yamesemwa na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha nchi hiyo ya Afrika Magharibi (NCDC).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *