Kwa nini vikosi vya usalama vya Ufaransa vimefukuzwa Algeria?

Sambamba na kuongezeka mvutano kati ya Algeria na Ufaransa, serikali ya Algiers imechukua uamuzi wa kuwafukuza maafisa wawili wa kiintelijensia wa Ufaransa waliokuwa na pasipoti za kidiplomasia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *