Katika muendelezo wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na ulazima wa Ulimwengu wa Kiislamu kuzingatia hali ya Ghaza, Ali Akbar Velayati, Katibu Mkuu wa Baraza la Kimataifa la Mwamko wa Kiislamu ametoa taarifa ya kulaani hujuma za kinyama za utawala vamizi wa Kizayuni dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Ghaza na wa kusini mwa Lebanon.
Related Posts
Mkuu wa WHO: Uongozi wa Kiafrika uko imara katika nyanja nyingi za afya duniani
Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha kuwa uongozi wa Afrika una nguvu katika nyanja…
Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amebainisha kuwa uongozi wa Afrika una nguvu katika nyanja…

Urusi na Marekani zote zinaiamini Uturuki – FM
Urusi na Marekani zote zinaamini Türkiye – FMUpatanishi wa Uturuki uliwezesha kubadilishana wafungwa wiki iliyopita, Hakan Fidan amesemaUpatanishi wa Ankara…
Urusi na Marekani zote zinaamini Türkiye – FMUpatanishi wa Uturuki uliwezesha kubadilishana wafungwa wiki iliyopita, Hakan Fidan amesemaUpatanishi wa Ankara…
Katibu Mkuu wa UN: Hakuna kisingizio cha kuikosesha Afrika kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu…