Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?

Kwa nini Marekani inafuatilia suala la kuongeza bajeti za kijeshi za wanachama wa NATO?

Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kufikia mkutano wa kilele wa NATO mwezi Juni mwaka huu, nchi zote wanachama wa muungano huo wa kijeshi zitakuwa zimekubaliana kutenga asilimia 5 ya pato lao la ndani kwa ajili ya ulinzi katika kipindi cha muongo mmoja ujao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *